Afisa uhusiano, habari, masoko Damu salama Ussi Bakari Mohd akisoma risala ya wachangia damu katika sherehe ya maadhimisho ya siku ya wachangia damu Duniani iliyofanyika Makao Makuu ya Benki ya damu Sebleni kwa wazee Mjini Zanzibar.

Baadhi ya wananchi waliojitokeza kuchangia damu wakisubiri utaratibu ili wachangie damu leo juni 14, 2021 katika maadhimisho ya siku ya wachangia damu Duniani.

Sehemu ya wananchi waliojitokeza katika kilele cha siku ya wachangia damu Duniani wakitoa damu, hafla iliyofanyika viwanja vya Makao Makuu ya Benki ya Damu Sebleni kwa wazee.

Makamu wa Pili wa Rais Hemed Suleiman Abdulla akipewa maaelezo na Afisa uhusiano, habari, masoko Damu salama Ussi Bakari Mohd alipokuwa akitembelea watoa damu katika Maadhimisho ya kilele cha siku ya wachangia damu duniani.

Makamu wa Pili wa Rais Hemed Suleiman Abdulla akizungumza na wataalamu wa Afya na wadau mbalimbali katika Maadhimisho ya kilele cha siku ya wachangia Damu Duniani.
Makamu wa Pili wa Rais Hemed Suleiman Abdulla (kulia) akimpa cheti cha wachangia damu bora Mwakilishi wa Jumuiya ya Muzdalifa Abdalla Hadhar Abdalla katika Maadhimisho ya kilele cha siku ya wachangia Damu Duniani.

Picha na Makame Mshenga.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...