Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi akiwasilisha mada wakati wa Kongamano la Mazingira ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani lililofanyika leo katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre jijini Dodoma leo Juni 4, 2021.

Washiriki wakifuatilia Kongamano la Mazingira ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani lililofanyika leo katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre jijini Dodoma leo Juni 4, 2021.

Viongozi mbalimbali, wadau na washiriki wakifuatilia Kongamano la Mazingira ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani lililofanyika leo katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre jijini Dodoma leo Juni 4, 2021. 

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Bw. Mohammed Khamis Abdulla akifunga Kongamano la Mazingira ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani lililofanyika leo katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre jijini Dodoma leo Juni 4, 2021. 

Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi akiwasilisha mada wakati wa Kongamano la Mazingira ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani lililofanyika leo katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre jijini Dodoma leo Juni 4, 2021.

Washiriki wakifuatilia Kongamano la Mazingira ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani lililofanyika leo katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre jijini Dodoma leo Juni 4, 2021.

(PICHA NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...