*Meridianbet, Nyumba Yenye Odds Bora na Bonasi Kubwa!

UKWELI ni kwamba kujipima nguvu kabla ya mechi kubwa ni muhimu! Wikiendi hii inaweza kukupa ushindi mkubwa sana endapo ukifuata mechi za kirafiki za kimataifa zilizowekewa odds rafiki kabisa ili zikufaidishe! Usisubiri kuhadithiwa na Jirani, bashiri sasa!

ijumaa hii, kutakuwa na mechi ya kirafiki kabla ya michuano ya EURO 2020, baada ya Italy kuwalaza Wales 3-0, sasa Italy watakuwa nyumbani kuwaalika Czech Republic. Meridianbet imekuwekea Odds ya kirafiki kabisa ya 1.73 kwa Italy ili kukufaidisha.

Siku ya Jumamosi, Kutakuwa na mchezo wa mzunguko wa pili wa nusu fainali ya La Liga 2. Almeria watakuwa nyumbani kucheza na Girona baada ya kukubali kipigo cha 3-0 ugenini. Meridianbet wanawapa nafasi ya kupindua matokeo, na wameweka Odds ya 2.05 kwa Almeria ili uwe bingwa!

Jumapili nako kuna mambo makubwa, Belgium chini ya Lukaku watakuwa na Croatia chini ya Modric kama nahodha katika mechi ya kirafiki kabla ya EURO 2020. Kutambua ukubwa wa mechi hii, Meridianbet imekuwekea Odds ya 1.93 kwa Belgium.

Ni rahisi sana kuwa bingwa wikiendi hii, cha kufanya nikuchangamkia fursa tu. Piga *149*10# kujiunga au tembelea www.meridianbet.co.tz na ujiunge na familia ya mabingwa!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...