Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akizungumza mbele ya washiriki wa Mkutano wa 12 wa Baraza la Taifa la Biashara wakati akifungua Baraza hilo leo Ikulu mkoani Dar es Salaam.
Baadhi ya Washiriki wa Mkutano wa 12 wa Baraza la Taifa la Biashara linalofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete,Ikulu mkoani Dar es Salaam,ambapo Mgeni rasmi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu amelifungua na kushiriki kama Mwenyekiti wa Baraza hilo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...