Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akizungumza mbele ya washiriki wa Mkutano wa 12 wa Baraza la Taifa la Biashara wakati akifungua Baraza hilo leo Ikulu mkoani Dar es Salaam.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akishiriki Mkutano wa 12 wa Baraza la Taifa la Biashara linaloendelea katika ukumbi wa Jakaya Kikwete,Ikulu mkoani Dar es SalaamBaadhi ya Washiriki wa Mkutano wa 12 wa Baraza la Taifa la Biashara linaloendelea katika ukumbi wa Jakaya Kikwete,Ikulu mkoani Dar es Salaam,ambapo Mgeni rasmi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan amelifungua na kushiriki kama Mwenyekiti wa Baraza hilo
Baadhi ya Washiriki wa Mkutano wa 12 wa Baraza la Taifa la Biashara linalofanyika leo katika ukumbi wa Jakaya Kikwete,Ikulu mkoani Dar es Salaam, ,wakiwa wamesimama wakiomba Dua/Sala kwa ajili ya baadhi ya Viongozi na Wanachama wa Baraza hilo waliotangulia mbele za haki (fariki) akiwemo aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania awamu ya Tano,Hayati John Pombe Magufuli, ambapo Mgeni rasmi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan amefungua na kushiriki kama Mwenyekiti wa Baraza hilo



Baadhi ya Washiriki wa Mkutano wa 12 wa Baraza la Taifa la Biashara linalofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete,Ikulu mkoani Dar es Salaam,ambapo Mgeni rasmi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu amelifungua na kushiriki kama Mwenyekiti wa Baraza hilo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akizungumza mbele ya washiriki wa Mkutano wa 12 wa Baraza la Taifa la Biashara wakati akifungua Baraza hilo leo Ikulu mkoani Dar es Salaam,




Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Hussein Kattanga akizungumza jambo kabla ya kumkaribisha Mgeni Rasmi, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan kufungua Mkutano wa 12 wa Baraza la Taifa la Biashara leo Ikulu mkoani Dar es Salaam,
Baadhi ya Washiriki wa Mkutano wa 12 wa Baraza la Taifa la Biashara wakifuatilia kwa makini yaliyokuwa yakijiri kwenye mkutano huo uliofanyika Ikulu leo mkoani Dar es Salaam,ambapo Mgeni rasmi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan amefungua na kushiriki kama Mwenyekiti wa Baraza hilo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...