Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na viongozi mbalimbali wa mkoa wa Mwanza, mikoa jirani, pamoja na Wabunge mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku 3 na kuondoka mkoani Mwanza.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Robert Gabriel Luhumbi wakati akiondoka mkoani Mwanza leo tarehe 15 Juni, 2021. PICHA NA IKULU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiangalia kikundi cha ngoma za asili cha mkoa wa Mwanza wakati akielekea kuagana na viongozi mbalimbali wa Serikali na Mkoa mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku 3 mkoani Mwanza.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...