Wajumbe wa Chama cha Wabunge Wanawake (TWPG) wakimpatia zawadi  Bi. Nenelwa Mwihambi (wa pili kushoto) ya pongezi kwa kuteuliwa na Mheshimiwa Rais kuwa Katibu wa Bunge katika tukio lililofanyika ukumbi wa Pius Msweka Jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge Wanawake (TWPG), Mhe. Shally Raymond (wa pili kushoto) akizungumza wakati wa tukio la kumpongeza Bi. Nenelwa Mwihambi  kwa kuteuliwa na Mheshimiwa Rais kuwa Katibu wa Bunge katika ukumbi wa Pius Msweka Jijini Dodoma.
Katibu wa Bunge, Bi. Nenelwa Mwihambi akizungumza wakati wa tukio la kumpongeza kwa kuteuliwa na Mheshimiwa Rais kuwa Katibu wa Bunge katika ukumbi wa Pius Msweka Jijini Dodoma.
 Wanawake Watumishi wa Ofisi ya Bunge wakimpatia zawadi ya pongezi Bi. Nenelwa Mwihambi (wa tatu kushoto) kwa kuteuliwa na Mheshimiwa Rais kuwa Katibu wa Bunge katika tukio lililofanyika ukumbi wa Pius Msweka Jijini Dodoma.

PICHA NA BUNGE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...