Wanafunzi kutoka shule mbalimbali wakiwasili mkoani Mtwara tayari kwa kushiriki michezo ya UMITASHUMTA na UMISETA 2021, Mashindano yatakayofanyika kitaifa mkoani Mtwara na uzinduzi utafanyika Juni 8, 2021 katika uwanja wa Nangwanda Sijaona na mgeni rasmi katika uzinduzi huo ni Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...