Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania Dkt Charles Msonde ametangaza matokeo ya Mitihani ya Kidato cha Sita na Ualimu yaliyofanyika Mei 2021. Matokeo hayo yametangaziwa Zanzibar.
1.MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA (ACSEE) 2021
2.MATOKEO YA MTIHANI WA UALIMU (DSEE) 2021
3.MATOKEO YA MTIHANI WA UALIMU (GATCE) 2021
4.MATOKEO YA MTIHANI WA UALIMU (GATSCCE) 2021


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...