Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi (katikati) akisisitiza jambo wakati alipokutana na kwa mazungumzo na Uongozi wa Mamlaka ya kukuza Uwekezaji (ZIPA) pamoja na uongozi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC)  leo walipofika Ikulu Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 01/07/2021. 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi (kulia) leo amekutana  kwa mazungumzo na Uongozi wa Mamlaka ya kukuza Uwekezaji (ZIPA) pamoja na Uongozi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) walipofika Ikulu Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 01/07/2021.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...