
Infinix HOT 10i inatumia Android 11 ambayo ni Android yenye kutumika kwenye matoleo mengi ya simu kwa sasa na faida yake kubwa ni namna ambavyo inaifanya simu iwe rafiki wakati wa utumiaji na hii inapelekea Infinix HOT 10i kuwa simu sahihi kwa wenye lengo la kuhamia kwenye ulimwengu wa kidijitali.
Infinix HOT 10i ni simu yenye uhakika wa picha nzuri wakati wote hata kwenye kiza kinene simu hii bado itakupa picha ang’avu Hot 10i inalifanya swala la picha kuwa rahisi kupitia Kamera 2 za nyuma zenye flash 4 huku kamera kuu ikiwa ni MP13 na kamera ya mbele MP8.
Infinix HOT 10i imezingatia umuhimu wa kuangalia matukio mbalimbali kupitia simu endapo upo ambali na nyumbani basi kupitia wigo mpana wa kioo cha inch 6.51 unaweza kuangaza yote pasipo kupitwa na chochote.
Infinix HOT 10i ina nafasi ya kutosha ya utunzaji kumbukumbu kwa matumizi mbalimbali kama vile vitabu kwajili ya kujisomea, video za filamu, picha za safarini na mengine mengi utayafurahia kupitia memory ya GB 2Ram, 32Rom/2Ram, 64Rom ya Infinix HOT 10i.
Infinix HOT 10i ilizinduliwa rasmi tarehe 6/7/2021 na sasa inapatikana katika maduka yote ya simu nchini Tanzania kwa huduma ya haraka tafadhali piga 0744606222.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...