Afisa Uchaguzi kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Michael Simba, akitoa mafunzo kwa wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya vituo ambao wanapatiwa mafunzo kwaajili ya Uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo la Konde, Wilaya ya Micheweni mkoa wa Kaskazini Pemba unaotaraji kufanyika Jumapili Julai 18,2021.
Afisa Uchaguzi kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mawazo Bikenye akitoa mafunzo kwa wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya vituo ambao wanapatiwa mafunzo kwaajili ya Uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo la Konde, Wilaya ya Micheweni mkoa wa Kaskazini Pemba unaotaraji kufanyika Jumapili Julai 18,2021. (Picha na NEC).





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...