


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akizindua jengo la Ofisi ya Halmashauri ya Mji wa Kasulu – Kigoma Julai 17, 2021.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Kasulu waliojitokeza kumsikiliza wakati wa uzinduzi wa Jengo la Ofisi ya Halmashauri ya Mji wa Kasulu Mkoa wa Kigoma, Julai 17, 2021.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akiweka jiwe la Msingi ujenzi wa majengo mapya ya Chuo cha Ualimu Kabanga kilichopo wilaya ya Kasulu Mkoa wa Kigoma, Julai 17, 2021.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Kasulu waliojitokeza kumsikiliza wakati wa uwekaji jiwe la msingi ujenzi wa majengo mapya ya Chuo cha Ualimu Kabanga kilichopo wilaya ya Kasulu Mkoa wa Kigoma, Julai 17, 2021.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akizungumza na Balozi wa Canada Nchini Tanzania Pamella O’ Donell mara baada ya uwekaji Jiwe la msingi ujenzi wa majengo mapya Chuo cha Ualimu Kabanga Julai 17, 2021.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...