



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akizindua Jengo la Taifa la Takwimu Mkoa wa Kigoma. Ujenzi wa Jengo hilo umegharimu shilingi milioni 634.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akisalimianna na viongozi mbalimbali alipowasili katika uzinduzi wa Jengo la Taifa la Takwimu – Mkoa wa Kigoma hii leo Julai 16,2021.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akizindua Jengo la Taifa la Takwimu Mkoa wa Kigoma. Ujenzi wa Jengo hilo umegharimu shilingi milioni 634.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango Akipokea maelezo kabla ya kuzindua jengo la Taifa la Takwimu kutoka kwa meneja wa TBA mkoa wa Kigoma Julius Chego.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akizungumza na wananchi wa Kigoma eneo la uwanja wa michezo wa Mwanga – Kigoma Mjini mara baada ya kuzindua Jengo la Taifa la Takwimu Mkoa wa Kigoma. Julai 16, 2021.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akipokea zawadi kutoka kwa Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Pro. Joyce Ndalichako. Zawadi hiyo ni picha ya ramani ya Kijiji cha Kasumo mahali anapotokea Makamu wa Rais.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akisalimianna na viongozi mbalimbali alipowasili katika uzinduzi wa Jengo la Taifa la Takwimu – Mkoa wa Kigoma hii leo Julai 16,2021.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango Akipokea maelezo kabla ya kuzindua jengo la Taifa la Takwimu kutoka kwa meneja wa TBA mkoa wa Kigoma Julius Chego.PICHA – OFISI YA MAKAMU WA RAIS


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...