Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Itikadi na Uenezi  Ndugu Shaka Hamdu Shaka Alhamis  1 Julai 2021 (usiku) ameungana na wadau mbali mbali wa mchezo pamoja na tasnia ya habari katika ufunguzi wa msimu wa mashindano ya mpira wa miguu (Ndondo Cup) msimu wa mwaka  2021 ambapo droo na fashion show imefanyika.

Uzinduzi huo umefanyika katika viwanja vya Clouds Media Mikocheni umehudhuriwa pia na baadhi ya wabunge na viongozi wa vyama vya siasa.




 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...