*Meridianbet, Nyumba Yenye Odds Bora na Bonasi Kubwa!


MICHUANO ya Euro imetamatika lakini bado Meridianbet inatambua faida kubwa kwako. Sasa mechi za ligi mbalimbali duniani kupewa uzito mkubwa Zaidi wikiendi hii. Bashiri na uwe miongoni mwa mabilionea sasa!


ijumaa hii, Ligi kuu ya Ireland inaendelea, Derry City Fc itakuwa nyumbani kucheza na Shamrock Rovers ambao wanaongoza ligi hiyo. Kwa kutambua ukubwa Rovers, Meridianbet imekuwekea Odds ya 1.90 kwao ili ikufaidishe.


Siku ya Jumamosi, kule Urusi kutakuwa na fainali ya Russian Super Cup kati ya Zenit na Lomotiv Moscow. Zenit wamebeba kombe hilo mara tano, huku Locomotiv Moscow wakibeba mara 3. Je, nani atabeba mara hii? Meridianbet imekuwekea Odds ya 1.65 kwa Zenit, bashiri sasa!


Jumapili hii, kutakuwa na fainali nyingine ya Belgian Super Cup, KRC Genk atakuwa ugenini kucheza dhidi ya Club Brugge. Meridianbet imeweka Odds ya 1.75 Kwa Club Brugge. 

 

Siku ya Jumatatu napo hakupoi, ligi ya Denmark itaanza, Silkeborg watakuwa nyumbani kuwaalika Sonderjyske. Je, nani ataanza msimu kwa ushindi? Silkeborg amewekewa odds ya 1.75 na Meridianbet!


Ni rahisi sana kuwa bingwa wikiendi hii, cha kufanya nikuchangamkia fursa tu. Piga *149*10# kujiunga au tembelea www.meridianbet.co.tz  na ujiunge na familia ya mabingwa!


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...