Kulia ni Kiongozi wa Mbio maalum za Mwenge wa Uhuru 2021 Luteni.Josephine Mwambashi akizindua jengo la upasuaji na wagonjwa wa nje kituo cha afya Mwandoya.
Mmoja Wa wakimbiza Mwenge akimpatia Mwenge Mkuu wa Wilaya ya Meatu.
Mkuu wa Wilaya ya Itilima Mhe.Faidha Suleima akimkabidhi Mwenge Mkuu wa Wilaya ya Meatu Mhe.Fauzia Hamidu Mwenge Maalum wa uhuru 2021.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...