RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiuliza mawasili wakati alipotembelea Kiwanda cha Mwani cha Furahia Wanawe Paje wakati wa ziara yake katika Mkoa wa Kusini Unguja.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyeklit Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mjasiriamali wa utengenezaji wa Tomato  Ndg.Khamis Seif Ali (Kidume) wakati akitembelea mabanda ya maoneshi ya Wajasiriamali wa Wilaya ya Kusini Unguja  akiwa katika ziara yake katika Mkoa wa Kusini Unguja.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Bi, Nasra Juma Mwalim wa Kikundi cha Shauri Moja cha Muyuni C Unguja, wakati akitembelea maonesho hayo ya Wajasiriamali wa Mkoa wa Kusini Unguja yaliofanyika katika viwanja vya mpira Paje.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akitembelea Chuo cha Mafunzo ya Amali Kisongo Makunduchi kuangalia maendeleo ya ujenzi huo akiwa na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe.Simai Mohammed Said, wakati wa ziara yake Mkoa wa Kusini Unguja.(Picha na Ikulu)
 WAZEE wa Kijiji cha Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akiwahutubia wakati alipotembelea eneo linalotarajiwa kujengwa bandari Kizimkazi, akiwa katika ziara yake.(Picha na Ikulu)

 

WANANCHI wa Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza lka Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza na Wananchi alipotembelea eneo linalotarajiwa kujengwa bandari, akiwa katika ziara yake Mkoa wa Kusini Unguja.(Picha na Ikulu)
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...