Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) limeibuka kidedea kwa kuwa Mshindi wa kwanza kwenye Maonesho ya Sabasaba mwaka 2021.
Akiongea kwa furaha baada ya ushindi huo Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa STAMICO Dkt Venance Mwasse amesema STAMICO imekuja kivingine mwaka huu kwa kuja na Ubunifu mpya kwa kwa kuleta bidhaa mpya katika soko kama vile Kiwanda cha Kusafisha Dhahabu, Mkaa Mbadala (Rafiki Briquettes) kwa ajili ya matumizi ya Nyumbani. Mafunzo kwa wachimbaji wenye usikivu hafifu (viziwi) ambao walipata Elimu kutoka STAMICO.
Ushindi huo umepatika baada ya kukidhi vigezo mbalimbali vya ushindi ikiwemo ubora wa banda (branding) Ubunifu, Huduma bora kwa wateja na utoaji bora wa elimu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...