RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa Azimio la Halmashauri Kuu ya CCM Taifa la Kumpongeza kwa Kazi Kubwa ya Utekelezaji wa Ilani ya CCM, akikabidhiwa na Katibu Mkuu wa CCM  Ndg.Daniel Godfrey Chongolo alipofika Ikulu kwa mazungumzo na kujitambulishwa na Ujumbe wake mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndg.Daniel Godfrey Chongolo (kulia kwa Rais) alipofika jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha na Ujumbe wake wa Viongozi wa Jumuiya za CCM, mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndg. Daniel Godfrey Chongolo, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha na Ujumbe wake wa Viongozi wa Jumuiya za Chama Cha Mapinduzi.(Picha na Ikulu)  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...