Mkemia wa Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) Anania Kapalata  akimpa maelezo  Mteja aliyetembelea banda la GCLA katika maonesho ya 45 ya Biashara Kimataifa yanayofanyika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Mteknolojia Mkuu wa Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) Sabas Mandali   akimhudumia Mteja aliyetembelea banda la GCLA katiak maonesho ya 45 ya Biashara Kimataifa yanayofanyika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Mkemia wa Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA),Elizabeth Medza   akimhudumia Mteja aliyetembelea banda la GCLA katika maonesho ya 45 ya Biashara Kimataifa yanayofanyika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Mkemia  wa Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) Huruma Mwakisyala akimhudumia Mteja aliyetembelea banda la GCLA katiak maonesho ya 45 ya Biashara Kimataifa yanayofanyika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Mkemia  wa Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) Huruma Mwakisyala akimhudumia Mteja aliyetembelea banda la GCLA katika maonesho ya 45 ya Biashara Kimataifa yanayofanyika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere Sabasaba jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...