
2.Wasanii mbalimbali wa muziki kutoka Zanzibar, wakifuatilia kwa umakini semina maalumu juu ya namna bora ya kukuza vipaji vya muziki visiwani humo.Semina hiyo ni sehemu ya Tamasha la Zuchu Home Coming na Zantel litakalofanyika Agosti 21, katika Viwanja vya Amani Zanzibar.
.Msaanii wa muziki kutoka kundi la Wasafi, Zuhura Othman Soud ‘Zuchu’ pamoja na viongozi mbalimbali wakati wa semina kwa wasanii wa muziki visiwani Zanzibar.Semina hiyo ni sehemu ya maandalizi ya tamasha la Zuchu Home Coming na Zantel litakalofanyika Agosti 21, katika viwanja vya Amani Zanzibar.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...