
Waziri Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea nchini Morocco baada ya kumaliza ziara ya kikazi, Julai 18,2021 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea nchini Morocco baada ya kumaliza ziara ya kikazi, Julai 18,2021 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...