Waziri Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea nchini Morocco baada ya kumaliza ziara ya kikazi, Julai 18,2021 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea nchini Morocco baada ya kumaliza ziara ya kikazi, Julai 18,2021 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...