Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Liberata Mulamula akizungumza na Jaji wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu iliyopo Arusha, Mhe. Tujilane Chizumila alipomtembelea Ofisi kwake jijini Dodoma leo tarehe 1 Julai 2021 kwa ajili ya kumsalimia na kumpongeza kwa kuteuliwa kuwa Waziri. 
Mhe. Waziri akimsikiliza Mhe. Jaji Chizumila wakati wa mazungumzo kati yao
Mazungumzo yakiendelea

Mhe. Waziri akimweleza jambo Mhe. Jaji Chizumila mara baada ya kumaliza mazungumzo kati yao
Mhe. Waziri akimsikiliza Mhe. Jaji Chizumila wakati wa mazungumzo kati yao
Mazungumzo yakiendelea
Mhe. Waziri akimweleza jambo Mhe. Jaji Chizumila mara baada ya kumaliza mazungumzo kati yao
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...