Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka akikagua ubora wa madawati alipotembelea mradi wa ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa na ofisi katika Shule ya Msingi Goje iliyopo Wilaya ya Rungwe ikiwa siku ya kwanza ya ziara ya Katibu Mkuu wa CCM na Sekretarieti ya CCM Taifa mkoani Mbeya leo Julai 11, 2021

:Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka akipokelewa Kichama tayari kukagua mradi wa ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa na ofisi katika Shule ya Msingi Goje iliyopo Wilaya ya Rungwe ikiwa siku ya kwanza ya ziara ya Katibu Mkuu wa CCM na Sekretarieti ya CCM Taifa mkoani Mbeya leo Julai 11, 2021.(Picha na CCM Makao Makuu)
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka akisalimiana na Wajasiriamali Wanawake wanaojishughulisha na biashara ya kuuza ndizi katika soko la Lembuka Tandale, Kiwira Wilaya ya Rungwe ikiwa siku ya kwanza ya ziara ya Katibu Mkuu wa CCM na Sekretarieti ya CCM Taifa mkoani Mbeya leo Julai 11, 2021.(Picha na CCM Makao Makuu)

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka akizungumza na Uongozi wa Shule, CCM pamoja na Viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe mara baada ya kukagua mradi wa ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa na ofisi katika Shule ya Msingi Goje iliyopo Wilaya ya Rungwe ikiwa siku ya kwanza ya ziara ya Katibu Mkuu wa CCM na Sekretarieti ya CCM Taifa mkoani Mbeya leo Julai 11, 2021.(Picha na CCM Makao Makuu)

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...