Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Mhe. Ng'wilabuzu Ludigija (mwenye skafu kushoto) akikabidhi sehemu ya fimbo 500 za kuongozea wasioona zenye thamani ya shilingi milioni 14 kwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo ya Wasioona Tanzania (TAB), Bw. Omar Itambu na viongozi wa TAB jana jijini Dar es Salaam. Msaada huo umetolewa na Benki ya NMB, wengine wanaoshuhudia ni maofisa waandamizi wa NMB (kulia).
Mkuu
wa Wilaya ya Ilala, Mhe. Ng'wilabuzu Ludigija (mwenye skafu kushoto)
akikata utepe kuzinduwa sehemu ya msaada wa viti na meza za walimu
zilizotolewa na Benki ya NMB kwa Shule za Sekondari Kipunguni na
Mchikichini, pamoja na Shule ya Msingi Kibaga zote za jijini Dar es
Salaam, kulia mwenye suti ni Meneja wa NMB Kanda ya Dar es Salaam,
Donatus Richard. Msaada huo uliotolewa jana na NMB unasamani ya shilingi
14,700,000/-.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...