Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna (wa pili kushoto) na Ofisa Mtendaji Mkuu wa CCBRT, Brenda Msangi (wa pili kulia) wakionyesha hati za makubaliano ya ushirikiano wa mbio za NMB Marathon 2021 kwa ajili ya matibabu ya wakinamama wenye ugonjwa wa Fistula wanaotibia katika Hospitali ya CCBRT, Dar es salaam. Makubaliano hayo yamefanyika leo kwenye Makao makuu ya Benki ya NMB yaliyoenda sababa na uzinduzi wa NMB Marathon 2021. Kulia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Bima ya UPA, Nelson Rwihula na kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Bima ya Sanlam Life Insurance, Julius Magabe.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna (kushoto) na Ofisa Mtendaji Mkuu wa CCBRT, Brenda Msangi wakibadilishana nyaraka za makubaliano ya ushirikiano wa mbio za hisani za NMB Marathon 2021 zenye lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya matibabu ya wakinamama wenye ugonjwa wa Fistula wanaotibia katika Hospitali ya CCBRT, Dar es salaam. Makubaliano hayo yamefanyika leo kwenye Makao makuu ya Benki ya NMB yaliyoenda sababa na uzinduzi wa NMB Marathon 2021. 
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...