Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Luteni Josephine Mwambashi (katikati) akimueleza jambo Meneja wa Vodacom Tanzania Foundation Sandra Oswald (kulia) mara baada ya kuzindua darasa la Tehama kwenye shule ya wasichana ya Jokate Mwegelo iliyopo wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani mwishoni mwa wiki. Vodacom Tanzania kupitia taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation imetoa kompyuta 15 kwa shule hiyo ikiwa na lengo la kuhakikisha wanafunzi wanapata maudhui ya elimu bure kupitia tovuti ya e-fahamu. 

 Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Luteni Josephine Mwambashi (katikati) akimueleza jambo Meneja wa Vodacom Tanzania Foundation Sandra Oswald (kulia) mara baada ya kuzindua darasa la Tehama kwenye shule ya wasichana ya Jokate Mwegelo iliyopo wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani mwishoni mwa wiki. Vodacom Tanzania kupitia taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation imetoa kompyuta 15 kwa shule hiyo ikiwa na lengo la kuhakikisha wanafunzi wanapata maudhui ya elimu bure kupitia tovuti ya e-fahamu.  


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...