Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akipita juu ya daraja la Koga kwenye  mpaka wa mikoa ya Tabora na Katavi wakati alipokagua ujenzi wa barabara ya Tabora – Mpanda na daraja hilo, Agosti 27, 2021.  Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Dkt. Batilda Burian. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizingumza na Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Dkt. Batilda Burian (kulia) na Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwananvua Mrindoko  (katikati) wakati alipowasili kweye daraja la Koga linalotenganisha mikoa hiyo kukagua  daraja hilo ambalo ujenzi wake umekamilika, Agosti 27, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 

Muonekano wa Daraja la Koga kwenye mpaka wa mkoa wa Tabora  na Katavi ambalo ujenzi wake umekamilika na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alilikagua , Agosti 27, 2021. Kushoto ni daraja la zamani. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na  viongozi wa Mkoa wa  Katavi baada ya kukagua ujenzi wa daraja la mto Koga kwenye mpaka wa Mikoa ya Tabora na Katavi, Agosti 26, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...