Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Geita, Zahra Michuzi (kushoto) akikabidhiwa nyaraka ikiwa ni ishara wa kukabidhiwa ofisi na aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi wa Halmasauri hiyo, Mhandishi Felix Nlalio jana katika, Mjini Geita. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Geita, Zahra Michuzi akiongoza kikao kazi na wakuu wa idara na mbalimbali, ambapo aliwasihi wafanye kazi kwa upendo na ushirikiano na kuheshimiana ili kuweza kuistawisha Halmashauri hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...