Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Geita, Zahra Michuzi (kushoto) akikabidhiwa nyaraka ikiwa ni ishara wa kukabidhiwa ofisi na aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi wa Halmasauri hiyo, Mhandishi Felix Nlalio jana katika, Mjini Geita.
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Geita, Zahra Michuzi akiongoza kikao kazi na wakuu wa idara na mbalimbali, ambapo aliwasihi wafanye kazi kwa upendo na ushirikiano na kuheshimiana ili kuweza kuistawisha Halmashauri hiyo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-rfQSRmfgOpU/YRLg3ztvfKI/AAAAAAAMrrA/UsGSMJrdJgMbAqBqTj_gh-U4C1PsNZUbQCLcBGAsYHQ/w640-h424/WhatsApp%2BImage%2B2021-08-10%2Bat%2B21.15.08.jpeg)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...