Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa katika mazungumzo na Mwakilishi wa  Heshima Tanzania katika Jamhuri ya Slovakia Bw.Mustafa Khataw (katikati) wakati alipofika Ikulu jijini Zanzibar kujitambilisha leo akiwepo na Mratibu wake  hapa Zanzibar  Mhe.Ibrahim Rara.[Picha na Ikulu] 25/08/2021

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)  akiwa katika mazungumzo na Mwakilishi wa  Heshima wa Tanzania katika Jamhuri  ya Slovakia Bw.Mustafa Khataw  wakati alipofika Ikulu jijini Zanzibar kujitambilisha leo.[Picha na Ikulu] 25/08/2021.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa akimskiliza Mwakilishi wa  Heshima wa Tanzania katika Jamhuri  ya Slovakia Bw.Mustafa Khataw  wakati wa mazungumzo alipofika Ikulu jijini Zanzibar kujitambilisha leo.[Picha na Ikulu] 25/08/2021.

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...