Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein
Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa katika mazungumzo na Mwakilishi wa Heshima
Tanzania katika Jamhuri ya Slovakia Bw.Mustafa Khataw (katikati) wakati
alipofika Ikulu jijini Zanzibar kujitambilisha leo akiwepo na Mratibu
wake hapa Zanzibar Mhe.Ibrahim Rara.[Picha na Ikulu] 25/08/2021
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akiwa katika mazungumzo na
Mwakilishi wa Heshima wa Tanzania katika Jamhuri ya Slovakia
Bw.Mustafa Khataw wakati alipofika Ikulu jijini Zanzibar kujitambilisha
leo.[Picha na Ikulu] 25/08/2021.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa akimskiliza Mwakilishi
wa Heshima wa Tanzania katika Jamhuri ya Slovakia Bw.Mustafa Khataw
wakati wa mazungumzo alipofika Ikulu jijini Zanzibar kujitambilisha
leo.[Picha na Ikulu] 25/08/2021.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...