Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akimsikiliza Mwenyekiti wa Jumuiya ya Zanzibar Istiqama Charitable Organization Bw.Salum Mohamed Salum (wa pili kulia) wakati Uongozi wa Jumuiya hiyo ulipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kwa ajili ya kusalimiana .[Picha na Ikulu.] 04 Aug 2021.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2021/08/DSC_9436-scaled.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akisisitiza
jambo wakati alipokuwa akizungumza na Uongozi wa Jumuiya ya Zanzibar
Istiqama Charitable Organization unaoongozwa na Mwenyekiti wake Bw,Salum
Mohamed Salum(wa tatu kushoto) ulipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kwa
ajili ya kusalimiana .[Picha na Ikulu.] 04 Aug 2021.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto)akiagana na Uongozi wa Jumuiya ya Zanzibar Istiqama Charitable Organization baada mazungumzo na Uongozi huo ulipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo baada ya kusalimiana .[Picha na Ikulu.] 04 Aug 2021.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...