Naibu Waziri Ofisi ya Rais Utumishi, Deo Ndejembi amesema Serikali imewarejesha kazini na kuendelea kuwalipa mishahara jumla ya watumishi 4,380 walioondolewa kwenye orodha ya malipo ya mishahara kimakosa wakati wa zoezi la uhakiki wa vyeti vya elimu na watumishi hewa kote nchini.
Ndejembi ametoa kauli hiyo leo Bungeni jijini Dodoma na kusema kuwa idadi hiyo inajumuisha watendaji wa kata watendaji wa vijiji na watendaji wa mitaa wapatao 3,114
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...