Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi  na Mbunge wa Jimbo la Mkuranga ,Mhe.Abdallah Ulega akizungumza leo na  vijana wa Jogging kutoka maeneo mbalimbali ya wilaya hiyo baada ya kumaliza  kushiriki Jogging.Mhe Ulega amewaomba vijana  wa wilaya hiyo kuchangamkia fursa ya mikopo inayotolewa na Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga ambayo haina riba,amesema mikopo hiyo itawasaidia kujikwamua kiuchumi na kuongeza pato la Taifa.
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi na Mbunge wa Jimbo la Mkuranga,Abdallah Ulega (katikati) leo ameshiriki mbio za pole pole Jogging na vijana wa maeneo mbalimbali ya Wilaya ya  Mkuranga, kulia ni  Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mohamed Mwela. (Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi TV)
 
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi na  Mbunge wa Jimbo la Mkuranga,Abdallah Ulega (kulia) na vijana Jogging kutoka maeneo mbalimbali ya wilaya ya Mkuranga Mkoa wa  Pwani, wakipasha moto misuli baada ya kumaliza kushiriki Jogging.Mwenyekiti wa Jukwaa la Wanawake Wilaya ya Mkuranga,Mariam Ulega (kulia) na vijana Jogging kutoka maeneo mbalimbali ya wilaya ya Mkuranga Mkoa wa  Pwani, wakipasha moto misuli baada ya kumaliza kushiriki Jogging.
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wanawake Wilaya ya Mkuranga,Mariam Ulega akiwa miminia uji vijana Jogging kutoka maeneo mbalimbali ya wilaya ya Mkuranga Mkoa wa  Pwani.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi TV)


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...