Ili kuongeza wigo wa matumizi ya simujanja, kampuni ya teknolojia na mawasiliano ya Vodacom Tanzania PLC imeungana na kampuni ya Samsung kuzindua simu mpya aina ya Samsung A22, pichani Mkuu wa Mauzo na Usambazaji waVodacom Tanzania PLC George Lugata (Kushoto) na Meneja wa Samsung Tanzania Suleiman Mohamed wakionesha simu hiyo wakati wa uzinduzi. Ongezea simu hii inakuja na ofa maalum ya dakika za bure, MB na SMS, na inapatikana katika maduka yote ya Vodacom nchini, lakini pia katika maduka ya Samsung.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...