Waziri
wa Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Nassor Ahmed
Mazrui akipata chanjo ya UVIKO 19 (COVID19) wakati wa uzinduzi wa zoezi
la utoaji chanjo kwa wakazi wa Mkoa wa Kusini Unguja, lililoanza leo katika viwanja
vya Kizimkazi Dimbani (mji mpya), Kusini Unguja Zanzibar. Zoezi hilo
linaenda sambamba na tamasha la Kizimkazi 2021 lililodhaminiwa na Benki
ya CRDB.Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Rashid Hadid Rashid akipata chanjo ya UVIKO 19 (COVID19) wakati wa uzinduzi wa zoezi
hilo kwa wakazi wa Mkoa wa Kusini Unguja, lililoanza leo katika viwanja
vya Kizimkazi Dimbani mji mpya, Kusini Unguja Zanzibar. Zoezi hilo
linaenda sambamba na tamasha la Kizimkazi 2021 lililodhaminiwa na Benki
ya CRDB.
Sehemu ya wananchi wa mji wa Kizimkazi na maeneo ya jirani waliojitokeza kwa lengo la kupata chanjo ya ya UVIKO 19 (COVID19), zoezi linaloendelea hivi sasa katika viwanja vya Kizimkazi Dimbani mji mpya, Kusini Unguja Zanzibar. Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Nassor Ahmed Mazrui akizungumza na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa, wakati akitoka kupata chanjo ya UVIKO 19 (COVID19) wakati wa uzinduzi wa zoezi la utoaji chanjo kwa wakazi wa Mkoa wa Kusini Unguja, lililoanza leo katika viwanja vya Kizimkazi Dimbani (mji mpya), Kusini Unguja Zanzibar
Sehemu ya wananchi wa mji wa Kizimkazi na maeneo ya jirani waliojitokeza kwa lengo la kupata chanjo ya ya UVIKO 19 (COVID19), zoezi linaloendelea hivi sasa katika viwanja vya Kizimkazi Dimbani mji mpya, Kusini Unguja Zanzibar. Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Nassor Ahmed Mazrui akizungumza na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa, wakati akitoka kupata chanjo ya UVIKO 19 (COVID19) wakati wa uzinduzi wa zoezi la utoaji chanjo kwa wakazi wa Mkoa wa Kusini Unguja, lililoanza leo katika viwanja vya Kizimkazi Dimbani (mji mpya), Kusini Unguja Zanzibar
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...