Mkuu wa wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita , Bw. David William Jamhuri (Kushoto) akipokea msaada wa pikipiki 8 kutoka kwa mrakibu idara ya mahusiano wa Barrick Bulynhulu, William Chungu, zilizotolewa na kampuni kwa ajili ya kuwezesha maofisa wa Serikali wilayani humo kutembelea miradi ya kijamii.

Mkuu wa wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita, Bw. David William Jamhuri (Kulia) akipokea msaada wa pikipiki 8 kutoka kwa mrakibu idara ya mahusiano wa Barrick Bulynhulu, William Chungu, zilizotolewa na kampuni kwa ajili ya kuwezesha maofisa wa Serikali wilayani humo kutembelea miradi ya kijamii

Mkuu wa wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita, Bw. David William Jamhuri (kulia) na Mkurugenzi wa Manispaa ya hiyo Husna Tonny Chambo, wakiangalia pikipiki 8 zilizotolewa na kampuni ya Barrick mgodi wa Bulyanhulu

Mkuu wa wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita , Bw. David William Jamhuri akijaribu kuendesha moja ya pikipiki zilizotolewa na Barrick.


***
Kampuni ya Barrick imetoa msaada wa pikipiki 8 kwa ajili ya kufanikisha ukaguzi wa miradi ya kijamii wilayani Nyang’hwale iliyopo mkoani Geita.

Barrick kupitia sera yake ya kusaidia huduma za jamii katika maeneo yanayozunguka maeneo yake ya kazi (CSR), inafadhili miradi mbalimbali ya kijamii wilayani humo.

Msaada huo ulikabidhiwa kwa Mkuu wa wilaya hiyo ,David Jamhuri .ilihudhuriwa na wafanyakazi wa Serikali wilayani humo na wafanyakazi waliowakilisha kampuni ya Barrick.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...