Girl Guides wakiimba na kucheza wakati wa ufunguzi wa Kambi ya mafunzo elekezi kwa viongozi wa Chama cha Tanzania Girl Guides (TGGA) katika Shule ya Sekondari ya Ufundi Moshi, mkoani Kilimanjaro. Mafunzo hayo yanashirikisha viongozi kutoka mikoa 20 ya Tanzania Bara na Visiwani.

Washiriki wakipata maelezo jinsi ya kuitengeneza pamoja na kuitumia Bendera ya TGGA.Mafunzo hayo yataendeshwa kwa muda wa siku 6.

Katibu Mkuu wa zamani wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya TGGA, Anna Maembe akizungumza alipokuwa akifungua kambi ya mafunzo kwa viongozi wa TGGA, Kulia kwake ni Kamishna Mkuu wa TGGA,Symphorosa Hangi na Mwenzekiti wa Taifa wa TGGA, Profesa Martha Qorro.TGGA imetimiz.a miaka 93 tangu kuanzishwa kwake hapa nchini

 
Mgeni rasmi katika ufunguzi huo, Anna Maembe (kulia) Kamishna Mkuu wa TGGA, Symphorosa Hangi (katikati) na Mwenyekiti wa Taifa wa TGGA, Profesa Martha Qorro wakifurahia jambo wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo.

Kamishna Mkuu wa TGGA,Symphorosa Hangi akiwasalimia viongozi na wageni waalikwa wakati wa ufunguzi wa kambi hiyo ya mafunzo..
Washiriki wakipiga makofi baada ya kufurahishwa na hotuba ya mgeni rasmi, Anna Maembe.



Washiriki wakiwa katika mafunzo kwa vikundi

Mratibu wa Programu za TGGA, Valentina Gonza akiongoza mafunzo wakati wa kambi hiyo.

Baadhi ya viongozi wakitambulishwa

Mwenyekiti wa Vijana wa TGGA, Tanga, Valentina Mohindo akisoma risala kuhusu mafunzo hayo.

Mmoja wa viongozi wa TGGA kutoka Zanzibar akiburudisha washiriki kwa kuimba utenzi.
Skauti wakipita kujitambulisha.

Kamishna wa Skauti Wilaya ya Moshi, Emernsiana Mbeno akitoa nasaha wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo.

Mgeni rasmi Anna Maembe akizawadiwa kikombe cha kumbukumbu

Mgeni rasmi akizawadiwa saa

Mgeni rasmi akiwa katika picha za pamoja na viongozi mbalimbali wa TGGA na wageni waalikwa

















Kamishna wa TGGA Bagamoyo, ambaye pia ni mshereheshaji wa Kambi hiyo, MC Mamyto, Martha Mshiu (Kushoto) akiwa na Kamishna Mkuu,Symphorosa Hangi (kulia) pamoja na mgeni rasmi, Anna Maembe.

Kamishna msaidiyi Mkuu wa TGGA, Sara Milunga (katikati) akiwa na Kamishna Mkuu, Symphorosa (kulia) pamoja na mgeni rasmi, Anna Maembe.PICHA YOTE NA RICHARD MWAIKENDA






Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza/kuona kupitia clip hii ya video Mgeni rasmi Anna Maembe akihutubia baada ya kusikiliza risara ya viongozi wa TGGA wakati wa ufunguzi wa kambi hiyo.....

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...