


Mgeni rasmi katika ufunguzi huo, Anna Maembe (kulia) Kamishna Mkuu wa TGGA, Symphorosa Hangi (katikati) na Mwenyekiti wa Taifa wa TGGA, Profesa Martha Qorro wakifurahia jambo wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo.
Kamishna Mkuu wa TGGA,Symphorosa Hangi akiwasalimia viongozi na wageni waalikwa wakati wa ufunguzi wa kambi hiyo ya mafunzo..



Kamishna msaidiyi Mkuu wa TGGA, Sara Milunga (katikati) akiwa na Kamishna Mkuu, Symphorosa (kulia) pamoja na mgeni rasmi, Anna Maembe.PICHA YOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza/kuona kupitia clip hii ya video Mgeni rasmi Anna Maembe akihutubia baada ya kusikiliza risara ya viongozi wa TGGA wakati wa ufunguzi wa kambi hiyo.....

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...