Kamishina wa Ushirikishwaji wa Jamii, Dkt Mussa Ali Mussa akizungumza na
wananchi wa Kata ya Isagenhe Tarafa ya Bukene Wilaya ya Nzega ikiwa ni
siku ya pili ya ziara yake ya ukaguzi wa uwepo wa Polisi Kata na kutoa
elimu kuhusu Mpango wa Polisi Kata.
Meneja Miradi wa Shirika la Hans Seidel Foundation (HSF) Kadele Mabumba
akizungumza na wananchi wa ya Isagenhe Tarafa ya Bukene Wilaya ya Nzega
Mkoa wa Tabora walipokua katika ziara ya Pamoja na Kamishna wa
ushirikishwaji wa Jamii ya kutoa elimu kuhusu Mpango wa Polisi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...