Kamera ya Michuzi leo Septemba 02,2021 imemnasa Mwendesha baiskeli  akikatiza katika viunga vya African Barabara ya Bagamoyo wilaya ya Kinondoni jiji ni Dar es Salaam wakiwa wamepakia abiria huku hawajavaa kofia ngumu jambo ambalo ni hatari kwa maisha yao. (Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi TV)

Waendesha Baiskeli wakiwa wamepaki Baiskel zao pembeni ya Kituo cha Daladala cha African Barabara ya Bagamoyo wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam wakisubiri wateja wanaotoka maeneo mbalimbi ya jiji kama wanvyoonekana pichani. (Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi TV)

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...