Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa, Bw. Sisty Nyahoza akiangalia Rejesta ya Viongozi wa Chama cha Sauti ya Umma (SAU), wakati wa zoezi la uhakiki wa namna vyama vya siasa vinavyotekeleza Sheria zinazosimamiwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa(ORPP) jana jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mkuu wa SAU, Bw. Majaliwa Kyara.
Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa, Bw. Sisty Nyahoza (mwenye tai) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa  Chama cha Sauti ya Umma (SAU) na wawakilishi nkutoka Ofisi ya Msajili wa Vywakati wa zoezi la uhakiki wa namna vyama vya siasa vinavyotekeleza Sheria zinazosimamiwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa(ORPP) jana jijini Dar es Salaam. (Picha na: ORPP)
Katibu Mkuu wa Chama cha Sauti ya Umma (SAU), Bw. Majaliwa Kyara akiteta jambo na Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa, Bw. Sisty Nyahoza (katikati) na Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Hesabu, Bw. Peter Lyimo akisisitiza jambo wakati wa zoezi la uhakiki wa namna vyama vya siasa vinavyotekeleza Sheria zinazosimamiwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa (ORPP) uliofanyika katika Ofisi za Makao Makuu ya Chama cha Sauti ya Umma (SAU) jana jijini Dar es Salaam.
Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Hesabu, Bw. Peter Lyimo akisisitiza jambo wakati wa zoezi la uhakiki wa namna vyama vya siasa vinavyotekeleza Sheria zinazosimamiwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa (ORPP) uliofanyika katika Ofisi za Makao Makuu ya Chama cha Sauti ya Umma (SAU) jana jijini Dar es Salaam.
Afisa Mkaguzi wa Ndani wa Hesabu toka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Bw. Mussa Boma akionyesha jambo katika kitabu cha rejesta ya malipo wakati wa zoezi la uhakiki wa namna vyama vya siasa vinavyotekeleza Sheria zinazosimamiwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa(ORPP) jana jijini Dar es Salaam.
Kutoka kulia ni Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa, Bw. Sisty Nyahoza, Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Hesabu, Bw. Peter Lyimo, Afisa Mkaguzi wa Ndani, Bw. Musa Boma na Afisa Sheria Bi. Grace Mushi wakikagua nyaraka za malipo  za Chama cha Sauti ya Umma (SAU) wakati wa zoezi la uhakiki wa namna vyama vya siasa vinavyotekeleza Sheria zinazosimamiwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa(ORPP) jana jijini Dar es Salaam.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...