![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgNAnlPUzEQxvd41i6oxqRoRuSOqcEr7YyC3S1yVJ-jNo9vSmWb96lOqO22P9oBpDOJP3p-6Y7bxv1djxkdP1obFVUeAfUSZuapn8dXm0waf6mN1JS0MgfPXbuD_GFTdZWc06R6mQ/s16000/WhatsApp+Image+2021-09-18+at+2.06.31+PM.jpeg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEis-w0qJ-B7g6YZN_JEqt_k3lSyIUeRXeMbY279s5SjxxOFx7ZLt10LKq6IWp9WgTYDvtzobrx1y5BVtFR3u-ExNulvwQjW1YsWYEpe8v_UQUR-sqv8pM0jUTK5FbbuiHf_VgS6-w/w640-h426/WhatsApp+Image+2021-09-18+at+2.06.33+PM.jpeg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgiD3ZwefN8Bothuchio75GZmmdBIPpA4BnODnZE7VeqM_dcRDFgOfbbsMz4uaPWlvFsF2NboFteeE_52bvCHtL3ZJTFiDV8H6iM17Jtvl3fyvkrY_TC2dJqXi146xBDI84_kmFeA/w640-h426/WhatsApp+Image+2021-09-18+at+1.58.39+PM.jpeg)
Meneja Mradi wa Maji Makonde Mhandisi Emmanuel Komkom akitoa maelezo ya changamoto za mitambo ya kuvuta maji kwa Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) Ndugu Christina Mndeme katika kituo cha kupokelea maji yanayotoka kwenye chanzo cha maji Mkunya wilayani Newala Mkoa wa Mtwara, ikiwa siku ya pili ya Ziara ya Katibu Mkuu wa CCM pamoja na Wajumbe wa Sekretarieti wa Halmashauri Kuu ya CCM yenye lengo la kukagua na kusimamia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020-2025. (Picha na CCM Makao Makuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...