
Sehemu ya Wahandisi wa fani mbalimbali kutoka Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa Mkutano wa maadhimisho ya Siku ya Wahandisi Tanzania mwaka 2021 uliofanyika jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Profesa Mhandisi Esnat Chaggu akifuatilia jambo kwa umakini wakati wa Mkutano wa maadhimisho ya Siku ya Wahandisi Tanzania mwaka 2021 uliofanyika jijini Dodoma.

Sehemu ya Wahandisi kutoka sehemu mbalimbali Tanzania wakifuatilia mada mbalimbali zilizokua zikitolewa katika Mkutano wa maadhimisho ya Siku ya Wahandisi Tanzania mwaka 2021 uliofanyika jijini Dodoma.

Baadhi ya Wananchi waliotembelea katika banda la maonyesho la NEMC katika viwanja vya J.K Nyerere wakati wa madhimisho ya siku ya Wahandisi Tanzania yaliofanyika jijini Dodoma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...