Profesa Lughano Kusiluka Mwenyekiti Mpya Baraza la Veterinari Tanzania.


Na Mwandishi Wetu 

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Mashimba Ndaki amemteua Profesa. Lughano Kusiluka kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Veterinari Tanzania.

Profesa Kusiluka ambaye ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Mzumbe anachukua nafasi hiyo iliyokuwa inashikiliwa na Profesa. Rudovick Kazwala ambaye muda wake umeisha.

Uteuzi huo utaanza rasmi kesho Septemba 1, 2021 kwa kipindi cha miaka minne (4).

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...