Ukweli haujifichi, ilikuwa ni swala la muda tu Tanzania na Duniani kote kuona nyota kuu inayong’aa kwa Rais wetu kipenzi Mama wa Vitendo Samia Suluhu Hassan.
Leo umoja wa Machifu wamedhihirisha hilo katika tukio la kipekee sana huko Bujora Mwanza ambapo kwa pamoja umoja huo wa machifu wamempa Rais Samia jina la HANGAYA yaani nyota inayong’aa.
Hii ni siku chache tu baada ya Umoja wa Mataifa kupitia Benki ya Dunia kuidhinisha kiasi cha takriban Dola za Marekani 567 kwa ajili ya kuisaidia Tanzania kupambana na athari zilizotokana na UVIKO 19
Nyota ya Rais Samia inaangaza Afrika na Dunia nzima, Tarehe 04 mwezi huu Rais Samia alitajwa miongoni mwa wanawake bora Duniani kutoka Afrika wenye ushawishi mkubwa zaidi.
Chini ya uongozi wa *Chifu HANGAYA* Tanzania inaenda kuwa kilele cha utalii Afrika kupitia filamu ya Royal Tour ambayo Starling ni Rais mwenyewe, the Master-mind, Amiri Jeshi Mkuu, Mama wa Vitendo Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan Rais wa Tanzania.
Nyota ya mama inafanya maajabu, Amani imetawala nchini, Miradi ya kimkakati inakwenda kwa kasi, wakulima wa cacao wanashangilia, ni fahari kuishi Tanzania.
Leo umoja wa Machifu wamedhihirisha hilo katika tukio la kipekee sana huko Bujora Mwanza ambapo kwa pamoja umoja huo wa machifu wamempa Rais Samia jina la HANGAYA yaani nyota inayong’aa.
Hii ni siku chache tu baada ya Umoja wa Mataifa kupitia Benki ya Dunia kuidhinisha kiasi cha takriban Dola za Marekani 567 kwa ajili ya kuisaidia Tanzania kupambana na athari zilizotokana na UVIKO 19
Nyota ya Rais Samia inaangaza Afrika na Dunia nzima, Tarehe 04 mwezi huu Rais Samia alitajwa miongoni mwa wanawake bora Duniani kutoka Afrika wenye ushawishi mkubwa zaidi.
Chini ya uongozi wa *Chifu HANGAYA* Tanzania inaenda kuwa kilele cha utalii Afrika kupitia filamu ya Royal Tour ambayo Starling ni Rais mwenyewe, the Master-mind, Amiri Jeshi Mkuu, Mama wa Vitendo Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan Rais wa Tanzania.
Nyota ya mama inafanya maajabu, Amani imetawala nchini, Miradi ya kimkakati inakwenda kwa kasi, wakulima wa cacao wanashangilia, ni fahari kuishi Tanzania.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...