Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Mwenyekiti wa Tanzania Centre for Democracy, Mhe. Zitto Kabwe alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Septemba 8, 2021
 Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Mwenyekiti wa Tanzania Centre for Democracy, Mhe. Zitto Kabwe alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Septemba 8, 2021, kulia ni Mtendaji Mkuu wa Tanzania Centre for Democracy, Bw. Lawrence Malawa.
Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya VunjaBei Group, Fred Ngajiro alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Septemba 8, 2021
Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akipokea zawadi ya jezi ya timu ya Simba Sports Club kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya VunjaBei Group, Fred Ngajiro alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Septemba 8, 2021. (PICHA NA OFISI YA BUNGE)

 




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...