Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhandisi Zena Ahmed Said amezindua huduma za mawasiliano ya 4G ya TTCL Corporation Mkoa wa Kusini, Zanzibar  jana Septemba 8, 2021, katika hafla iliyofanyika Tunguu kwenye Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Kusini, Zanzibar. #@TTCL Rudi Nyumbani Kumenoga #











 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...