
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishiriki katika mazishi ya mjomba wake, Shaban Issa kwenye makaburi ya Nandagala wilayani Ruangwa, Septemba 3, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishiriki katika sala ya kumuombea marehemu mjomba wake, Shabaan Issa kabla ya mazishi yaliyofanyika katika kijiji cha Nandagala wilayani Ruangwa, Septemba 3, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...