Wafanyakazi wa Barrick North Mara katika picha ya pamoja na wafanyakazi na watoto wanaolelewa katika kituo cha Angel House.
Wafanyakazi wa Barrick North Mara katika picha ya pamoja na wafanyakazi na watoto wanaolelewa katika kituo cha Angel House.
Meneja wa Mahusiano ya Jamii wa Barrick North Mara,Gilbert Mworia akikabidhi chakula kwa mmoja wa wawakilishi wa kaya zisizo na uwezo kutoka maeneo yanayozunguka mgodi
**

Katika kuadhimisha Siku ya Chakula Duniani 2021, Barrick North Mara, ilitoa msaada wa chakula katika kituo cha kulea watoto yatima cha Angel House, kilichopo mjini Tarime mkoani Mara ambacho kinalea watoto 65.

Mbali na kutoa msaada wa chakula katika kituo hicho pia ilitoa msaada wa chakula kwa baadhi ya kaya zisizo na uwezo katika vijiji vinavyozunguka mgodi ambazo zimesajiliwa katika Mpango wa kunusuru kaya Maskini Tanzania (TASAF).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...