Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dk. Zainabu Chaula ( kushoto ) akikabidhi tuzo ya  Taasisi bora ya Fedha kwenye matumizi ya Tehama kwa Ofisa Mkuu Mwendeshaji wa Benki ya Absa Tanzania, Oscar Mwamfwagasi (katikati) pamoja na Ofisa Mkuu wa Tehama wa Absa, Emmanuel Mwinuka, wakati wa Mkutano wa Tano wa Mwaka wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama), jijini Arusha jana.

 Ofisa Mkuu Mwendeshaji wa Benki ya Absa Tanzania, Oscar Mwamfwagasi (kushoto)  na Ofisa Mkuu wa Tehama wa Absa, Emmanuel Mwinuka, wakionyesha tuzo ya Taasisi Bora ya Fedha  kwenye matumizi ya Tehama mara baada ya kukabidhiwa wakati wa Mkutano wa Tano wa Mwaka wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama), uliofanyika jijini Arusha jana
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dk. Zainabu Chaula (kulia), akibadilishana mawazo na Ofisa Mkuu Mwendeshaji wa Benki ya Absa Tanzania, Oscar Mwamfwagasi (wa pili kushoto) pamoja na Ofisa Mkuu wa Tehama wa Absa, Emmanuel Mwinuka (kushoto),  wakati wa Mkutano wa Tano wa Mwaka wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama), uliofanyika jijini Arusha jana. Mwingine ni mmoja wa waandaaji wa mkutano, Tumaini Magila.

 

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...