Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akizungumza na Rais wa Armenia Mhe.Armen Sarkissian walipokutana kabla ya kuanza kwa Jukwaa la Nne Majadiliano ya Kiuchumi la Bloomberg linalofanyika Nchini Singapore. Nov 17, 2021.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akisalimiana na Mwanzilishi na Muandaaji wa Jukwaa la Nne la Majadiliano ya Kiuchumi la Bloomberg Mhe. Micheal Bloomberg linalofanyika Nchini Singapore walipokutana muda mfupi kabla ya kuanza kwa Mkutano huo. Novemba 17,2021
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akiwa katika picha ya pamoja na muanzilishi na muaandaaji wa Jukwaa la Nne Majadiliano ya Kiuchumi la Bloomberg Mhe. Micheal Bloomberg linalofanyika Nchini Singapore walipokutana muda mfupi kabla ya kuanza kwa Mkutano huo. Novemba 17,2021
Balozi wa Tanzania nchini India Baraka Luvanda akizungumza na Afisa Mtendaji Mkuu na Mbia Mwanzilishi wa Master Card wakati walipokutana muda mfupi kabla ya kuanza kwa mkutano wa Jukwaa la Nne la Majadiliano ya Kiuchumi la Bloomberg linalofanyika katika Hoteli ya Cappella Kisiwa cha Santosa Nchini Singapore. Novemba 17,2021.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...