Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango
akizungumza na Rais wa Armenia Mhe.Armen Sarkissian walipokutana kabla
ya kuanza kwa Jukwaa la Nne Majadiliano ya Kiuchumi la Bloomberg
linalofanyika Nchini Singapore. Nov 17, 2021.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango
akisalimiana na Mwanzilishi na Muandaaji wa Jukwaa la Nne la Majadiliano
ya Kiuchumi la Bloomberg Mhe. Micheal Bloomberg linalofanyika Nchini
Singapore walipokutana muda mfupi kabla ya kuanza kwa Mkutano huo.
Novemba 17,2021
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango
akiwa katika picha ya pamoja na muanzilishi na muaandaaji wa Jukwaa la
Nne Majadiliano ya Kiuchumi la Bloomberg Mhe. Micheal Bloomberg
linalofanyika Nchini Singapore walipokutana muda mfupi kabla ya kuanza
kwa Mkutano huo. Novemba 17,2021
Balozi
wa Tanzania nchini India Baraka Luvanda akizungumza na Afisa Mtendaji
Mkuu na Mbia Mwanzilishi wa Master Card wakati walipokutana muda mfupi
kabla ya kuanza kwa mkutano wa Jukwaa la Nne la Majadiliano ya Kiuchumi
la Bloomberg linalofanyika katika Hoteli ya Cappella Kisiwa cha Santosa
Nchini Singapore. Novemba 17,2021.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...